Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 4, 2009

TFF YAITOLEA MBAVUNI SIMBA!!!

Shirikisho la kandanda Tanzania limetupilia mbali maombi ya klabu ya Simba wachezaji wake kujiunga na kambi ya timu ya taifa hapo Agosti mara baada ya kumalizika kwa tamasha la Simba.
Frdrick Mwakalebela ni katibu mkuu wa TFF amesema mchezo wa Simba ni wa kirafiki ikiwa ni sehemu ya mazoezi ya klabu hiyo, Taifa Stars inajukumu la kitaifa katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Rwanda hapo Agosti 12 Mjini Kigali Rwanda.
Mwakalebela amesema katika jukumu hilo uzalendo haunabudi kuwekwa mbele hasa ikizingatiwa timu ya taifa imekuwa ikipata wachezaji toka katika vilabu vya Tanzania ikiwemo Simba.
Mwakalebela amesema anaamini Simba ni binaadamu na wanaelewa umuhimu wa Timu ya taifa pamoja na mchezo huo wa kirafiki kwa mujibu wa kalenda ya FIFA, hivyo anaamini wachezaji hao wataungana na wenzao kambini muda wowote kuanzia sasa.
Aidha Mwakalebela amesema wako tayari kuwaruhusu wachezaji wa Simba kuungana na wenzano wakati wa tamasha la Simba linalotarajiwa kufanyika Agosti 8 mwaka huu.
Amewataka wachezaji wa Simba kujiunga na wenzao katika kambi ya timu ya taifa haraka iwezekenavyoo.

No comments :

Post a Comment