Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 18, 2009

SIKU YANGA WALIPOFULIA KWA MTIBWA, NGAO YA HISANI IKAENDA MORO!


Makamu wa pili wa Raisi wa shirikisho la kandanda Tanzania Ramadhani Nasib akimkabidhi kapteni wa klabu ya soka ya Mtibwa Suger NGAO YA HISANI
Kushinda raha bwana asikwambie mtu, cheki jamaa wanavyofurahia ubingwa wa kihistoria kwa mara ya kwanza halafu wanatwaa Ngao ya Hisani!
Kado naye alifanya kazi kubwa kulinda lango la Mtibwa
Hapa haendi mtu!

1 comment :