Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya mikono wakiwa na bendera yao baada ya kukabidhiwa Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la michezo Tanzania Mohamed Kiganja kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya Chalenge kwa vijana wa chini ya miaka 20 Bujumbura Burundi.(Picha na Rajabu Mhamila)
MPINA WA ACT WAZALENDO ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS
-
Baada ya kukabidhiwa fomu, wagombea hao walitia saini kitabu cha kumbukumbu
cha wachukua fomu chini ya maelekezo ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC,
Ndg. R...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment