Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys Jumatatu 31, Agosti 2009 watacheza na timu ya taifa ya vijana ya Sudan kuwania nafasi ya tatu ya michuano ya Chalenji.
Serengeti Boys imefikia hatua hiyo baada ya kufungwa katika mchezo wa nusu fainali na Uganda siku ya Ijumaa kwa kufungwa jumla ya magoli 5-3 kwa mikwaju ya Penati baada ya kumaliza dakika 120 huku wakiwa wamefungana 1-1.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment