Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 30, 2009

SERENGETI BOYS JUMATATU KUSAKA NAFASI YA TATU SUDAN

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys Jumatatu 31, Agosti 2009 watacheza na timu ya taifa ya vijana ya Sudan kuwania nafasi ya tatu ya michuano ya Chalenji.

Serengeti Boys imefikia hatua hiyo baada ya kufungwa katika mchezo wa nusu fainali na Uganda siku ya Ijumaa kwa kufungwa jumla ya magoli 5-3 kwa mikwaju ya Penati baada ya kumaliza dakika 120 huku wakiwa wamefungana 1-1.

No comments :

Post a Comment