Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys Jumatatu 31, Agosti 2009 watacheza na timu ya taifa ya vijana ya Sudan kuwania nafasi ya tatu ya michuano ya Chalenji.
Serengeti Boys imefikia hatua hiyo baada ya kufungwa katika mchezo wa nusu fainali na Uganda siku ya Ijumaa kwa kufungwa jumla ya magoli 5-3 kwa mikwaju ya Penati baada ya kumaliza dakika 120 huku wakiwa wamefungana 1-1.
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment