Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 30, 2009

MATOKEO YA LIGI KUU TANZANIA BARA 29, AGOSTI 2009


Mchezaji wa Bernad Nguya wa Manyema United akimtoka Athumani Idd wakati wa mchezo wa ligi ya vodacom mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana,Yanga ilishinda bao3-0.Amir Maftah wa Yanga (kulia) akimtoka mchezaji wa timu ya Manyema United Sixbart Mohamed kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana ,Yanga ilishinda bao 3-0.
Yanga 3 - 0 Manyema Rangers

Jery Tegete dk 24, 83
Mike Barasa dk 45 (pt)

Tanzania Prison 0 - 1 Tanzania Prison

David Naftali dk 72

Maji Maji 0 - 1 JKT Ruvu

Hussein Bunu

No comments :

Post a Comment