Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 20, 2009

YANGA - WACHEZAJI WA KIGENI WALIYOGOMA KUTINGA KAMBINI KUKIONA

Wachezaji wakigeni wa Yanga sasa Kuchukuliwa adhabu kali na uongozi wa klabu ili kutoa mfano kwa wachezaji wengine na kuhakikisha nidhamu inajengeka katika klabu hiyo yenye mashabiki nchini Tanzania.
Lukas Antony Kisasa ni katibu mkuu wa klabu ya Yanga amesema wanachosubiri ni ripoti toka kwa kocha mkuu wa klabu hiyo Prof. Dusan Condic.
Amesema wachezaji ni watovu wa nidhamu, amesema inashangaza kuona wachezaji wa nyumbani wakiwa kambini huku wachezaji wakikataa kuungana na wenzao kwa madai Jengo la Yanga hallina hadhi ya kukaa mchezaji wa kulipwa huku nao wakiwa ni wachezaji wa Yanga.
Kisasa amesema hatua hiyo ya wachezaji wa kigeni ni sawa na kuwadharau wa Tanzania wengi ambao ni wapenda soka, na kuahidi kuwachukulia adhabu kali itakayokuwa mfano kwa wachezaji wote wa kigeni waliyopo hapa nchini.

No comments :

Post a Comment