Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 4, 2009

TAMASHA LA SIMBA LAIVA!!!

Wekundu wa Msimbazi Simba imewataka wadau na wapenzi wa mchezo huo kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu yao dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda zitakapochuana katika uwanja wa Uhuru Agasti 8 mwaka huu.
Mwenyekiti wa timu hiyo Hassan Dalali amesema siku hiyo itakuwa siku maalum kwa wana Simba kwani itakuwa ikifanyika kila mwaka na kuzaliwa kwa Klabu hiyo.
Dalali ameongeza kuwa mpambano huo utakuwa na lengo la kuwatambulisha wachezaji wapya waliowasajili kwa wanachama wa Simba na Jezi mpya watakazozitumia katika msimu mpya wa Ligi.
Katika mchezo huo Dalali amesema Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Spika wa Bunge la Jamuhuri ya muungano la Tanzania Mh.Samweli Sitta.
Hata hivyo Dalali amesema kutakuwa na mechi ya ufunguzi kati ya timu ya pili ya Simba chini ya umri wa miaka 20 na Afrika Lyon wenye umri kama huo.

No comments :

Post a Comment