Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 13, 2009

VODACOM YAKABIDHI VIFAA KWA KLABU ZA LIGI KUU TANZANIA BARA

Naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo Joel Bendera (kulia) akimpa vifaa vya ushiriki wa ligi kuu ya vodacom katibu Mkuu wa Club ya Simba, Mwina Swif Kaduguda, wakati wa sherehe za kugawa vifaa kwa Club zinazoshiriki Ligi Kuu Hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika, Dar es salaam, wanaoshuudia wa pili kushoto ni Meneja udhamini wa kampuni ya VodaCom, George Rwehumbiza na Mkuu wa kitengo cha Udhamini wa kampuni hiyo Ephraim Mafuru. Picha na Rajabu Mhamila
Mchezaji Uhuru Seleman kushoto akimtoka mchezaji mwenzake Mohamed Banka wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Kinesi Dar es Salaam jana nyuma ni kocha wa timu hiyo Patrick Phiri.

No comments :

Post a Comment