Naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo Joel Bendera (kulia) akimpa vifaa vya ushiriki wa ligi kuu ya vodacom katibu Mkuu wa Club ya Simba, Mwina Swif Kaduguda, wakati wa sherehe za kugawa vifaa kwa Club zinazoshiriki Ligi Kuu Hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika, Dar es salaam, wanaoshuudia wa pili kushoto ni Meneja udhamini wa kampuni ya VodaCom, George Rwehumbiza na Mkuu wa kitengo cha Udhamini wa kampuni hiyo Ephraim Mafuru. Picha na Rajabu Mhamila
Mchezaji Uhuru Seleman kushoto akimtoka mchezaji mwenzake Mohamed Banka wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Kinesi Dar es Salaam jana nyuma ni kocha wa timu hiyo Patrick Phiri.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment