Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Yanga wanataraji kukipiga na Mtibwa Suger katika mchezo wa Ngao ya Hisani utakaochezwa Agosti 16 mwaka huu.
Akizungumza na kipindi cha Michezo cha Radio Times FM Katibu mkuu wa TFF Fredrick Mwakalebela amesema mchezo wa Ngao ya Hisaniutakuwa ukichezwa kila mwaka wiki moja kabla ya kuanza kwa ligi Kuu Tanzania bara.
Mchezo huo uliwahi kuchezwa mara moja lakini ukapotea na sasa TFF wameamua kuurejesha kwani nchi nyingi za Ulaya zimekuwa zikifanya hivyo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment