Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 17, 2009

YANGA NA SIMBA WANG`ARISHWA NA KILIMANJARO


Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) David Minja (kulia) akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga Dar es salaam Lucas Antoni KIsasa baada ya makabidhiano ya vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi.milion.65 kwa timu za Simba na Yanga anaeshuudia wa pili kushoto ni Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe na Mkurugenzi wa utawala na uwanachama kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu(TFF) Mtemi Ramadhani.(Picha na Rajabu Mhamilaa onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxVZK7APklDPgsZ0namtZraghTqfGvoYR6AP3JmjiBeBeDYfO7reYTG7mIf45tVM1FC0l9d65SNeJPko7BhyZKd1UWVdETUaandmrZFeOy4xs6PLWhkHx2KXMzZeCg1jZ1ZlcnWclkPQ/s1600-h/Kaduguda+vifaa.JPG">
Katibu mkuu wa kuajiriwa wa klabu ya Simba Mwina Sefu Kaduguda akikabidhiwa uzi mpya wa mnyama.

No comments :

Post a Comment