Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 20, 2009

DANI MRWANDA AZICHAPA NA GUMBO WAKIELEKEA SONGEA!!!

Pichani Dani Mrwanda akichuana na Rigobert Song katika mchezo wakati Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ilipochuana na Cameroon mwaka jana katika uwanja mpya wa Taifa.
Mchezaji dani Mrwanda wa wekundu wa Msimbazi wakati wa safari ya klabu hiyo kuelekea Songea tayari kukipiga na Maji Maji katika mchezo wa kwanza wa ligi Kuu Tanzania Bara ambayo itaanza rasmi Agosti 23 ametajwa kuzichapa na makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo Omari Gumbo.
Imebainishwa chanzo cha kuzuka ugomvi huo ni kufuatia mchezaji huyo kukaidi agizo la kuvaa jezi ya Simba, kama walivyofanya wachezaji wenzake ikiwa ni sare maalum ya klabu hiyo wakati wa safari.
Simba siku ya Jumapiliitakipiga na Maji maji ya Songea katika uwanja wa Maji maji mjini Songea.

No comments :

Post a Comment