Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 10, 2009

TAMASHA LA SIMBA LA FANA


Na hichi ndicho kikosi kamili cha Simba
Mwenyekiti wa klabu ya Simba Hassan Dalali akimkabidhi Mheshimiwa Spika Samweli Sita moja ya Jezi mpya za klabu ambazo zitatumiwa katika msimu wa ligi kuu Tanzania bara unaotaraji kuanza Agosti 23.
Mashabiki wa Simba katika tamasha la Simba "Simba Day" ambalo lilitumiwa na klabu hiyo kutambulisha Jezi mpya za klabu hiyo pamoja na wachezaji wapya.
Simba katika SImba Day ilicheza mchezo wa kirafiki na klabu ya Sports Club Villa ya Uganda na kuibuka na ushindi wa goli 1-0.

No comments :

Post a Comment