Na hichi ndicho kikosi kamili cha Simba
Mwenyekiti wa klabu ya Simba Hassan Dalali akimkabidhi Mheshimiwa Spika Samweli Sita moja ya Jezi mpya za klabu ambazo zitatumiwa katika msimu wa ligi kuu Tanzania bara unaotaraji kuanza Agosti 23.
Mashabiki wa Simba katika tamasha la Simba "Simba Day" ambalo lilitumiwa na klabu hiyo kutambulisha Jezi mpya za klabu hiyo pamoja na wachezaji wapya.
Simba katika SImba Day ilicheza mchezo wa kirafiki na klabu ya Sports Club Villa ya Uganda na kuibuka na ushindi wa goli 1-0.
No comments :
Post a Comment