Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 2, 2009

TP MAZMBE YA DR CONGO HOI KWA ETOILE DU SAHEL

Klabu ya Tunisia Etoile du Sahel imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya TP Mazembe ya Demokrasia ya Congo katika mchezo wa kundi B katika michuano ya ya ligi ya mabingwa barani Afrika.
Mazembe ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata goli lakini mchezaji Ammar Jemal aliipatia goli la kusawazisha kwa mabingwa wa michuano hiyo ya ligi ya mabingwa Afrika mwaka 2007 akiunganisha mpira wa adhabu uliyopipgwa na Sadat Bukari.
Mlinzi Aymen Abdennour alifunga goli la pili na kuihakikishia ushindi wa pointi tatu.
Etoile na Mazembe wanajumla ya pointi tatu hadi sasa pamoja na mabingwa wa Zimbabwe, kabu ya Monomotapa, ambao waliichapa klabu hiyo ya Tunisia katika mchezo wa kwanza.

No comments :

Post a Comment