Ofisa Biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Zain Bw.Chiruyi Walingo akipeana mkono na Ofisa Biashara wa Shirika la maji safi na maji taka(DAWASCO) Bw.Raymond Mndolwa Dar es Salaam jana baada ya uzinduzi wa ulipaji wa Ankara za maji kwa wateja wa Zain kupitia huduma ya Zap.(Picha na Rajabu Mhamila)
DKT.MWINYI AAHIDI UWEKEZAJI MKUBWA BWAWANI , KUIMARISHA MJI MKONGWE
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali M...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment