Ofisa Biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Zain Bw.Chiruyi Walingo akipeana mkono na Ofisa Biashara wa Shirika la maji safi na maji taka(DAWASCO) Bw.Raymond Mndolwa Dar es Salaam jana baada ya uzinduzi wa ulipaji wa Ankara za maji kwa wateja wa Zain kupitia huduma ya Zap.(Picha na Rajabu Mhamila)
Friday, July 31, 2009
ZAIN YAFUNGA NDOA NA DAWASCO
Ofisa Biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Zain Bw.Chiruyi Walingo akipeana mkono na Ofisa Biashara wa Shirika la maji safi na maji taka(DAWASCO) Bw.Raymond Mndolwa Dar es Salaam jana baada ya uzinduzi wa ulipaji wa Ankara za maji kwa wateja wa Zain kupitia huduma ya Zap.(Picha na Rajabu Mhamila)
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment