Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 13, 2009

WAOGELEAJI 6 KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA ITALIA

Chama cha mchezo wa kuogelea Tanzania kinatarajia kuondoka Julai 18 kwenda nchini Italia kwa ajili ya mashindano ya Dunia ya mchezo huo yatakayoanza Julai 21 mwaka huu.

Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani Rais wa chama hicho Deogratius Vicent ametanabaisha kuwa safari hiyo itajumuisha watu sita yaani wachezaji wanne na viongozi wawili.

Vicent ameongeza kuwa lengo lao ni kwenda na wachezaji 12 lakini kutokana na matatizo yaliyokuwa nje ya uwezo wao basi hawana budi kwenda na idadi hiyo pungufu.

Hata hivyo amewaombna wadau wote wanaoupenda mchezo huo kujitokeza kwa wingi katika kuwapiga tafu ili waende kuiwakilisha vema Tanzania.

No comments :

Post a Comment