Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 15, 2009

Mjini Magharibi watinga fainali Copa Coca Cola


Timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 toka mjini Magharibi Zanzibar imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Copa Coca Cola baada ya kuwafunga vijana wa Kigoma 2-0.

Magoli ya Mji Magharibi yalifungwa na mchezaji Juma Mbwana katika dakika ya 18 ya mchezo wakati goli la pili lilipatakana katika dakika ya 85 kupitia kwa mchezaji Ibrahim Rajabu.

Katika mchezo huo mchezaji wa timu ya vijana wa kigoma Shaaban Abasi alizawadiwa kadi nyekundu.

Timu ya vijana wa Mji Magahribi sasa wanamsubiri mshindi wa mchezo wa pili wa nusu fainalli kati ya Tabora na Morogoro.

Fainali ya michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 itachezwa siku ya Jumamosi ya tarehe 18 mwezi huu.

No comments :

Post a Comment