Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia moja ya mabao yao ya kusawazisha wakati wa mchezo wa kirafiki na timu ya African Lyon juzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.Mchezaji wa Yanga Vicent Barnabas akichuana na Azizi Sibo wa African Lyon wakati wa mchezo wa kirafiki na timu ya African Lyon juzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment