Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment