Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment