Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 21, 2009

SIKU YANGA WALIPOFULIA KWA AFRICAN LYON FC

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia moja ya mabao yao ya kusawazisha wakati wa mchezo wa kirafiki na timu ya African Lyon juzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.Mchezaji wa Yanga Vicent Barnabas akichuana na Azizi Sibo wa African Lyon wakati wa mchezo wa kirafiki na timu ya African Lyon juzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.
Kiungo wa timu ya Yanga Godfray Bonny akimpiga chenga kipa wa timu ya African Lyon John Mbugwa wakati wa mchezo wa kirafiki Kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam juzi,katika mchezo huo Yanga ilifungwa mabao 3-2.

No comments :

Post a Comment