Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 17, 2009

COPA COCA COLA KUFIKIA TAMATI JUMAMOSI TAREHE 18, 2009


Kampuni ya vinywaji ya Coca Cola imetangaza zawadi za washindi wa mashindano ya vijana chini ya umri ya miaka 17, Copa coca Cola yanayofikia tamati July 18 mwaka huu katika dimba la Uhuru.

Akizungumza jijini Dar es Salaam Meneja wa kampuni hiyo Heriet Mutayoba amesema mashindano hayo kwa ujumla yalikuwa na ushindani wa hali ya juu kutokana na kupokelewa vizuri na wapenzi wa soka.

Ametaja zawadi hizo kuwa mshindi wa kwanza ataibuka na milioni nne na nusu, mshindi wa pili milion tatu huku mshindi wa tatu milion mbili pia wote watapata kikombe, medali na vyeti.

Vilevile kutakuwa na zawadi ya mchezaji bora, mfungaji bora kipa bora ambao wataibuka na kitita cha shilingi laki tano za kitanzania na timu yenye nidhamu itapata milioni moja na kikombe kwa wote.

No comments :

Post a Comment