Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 21, 2009

FIFA yakubali kuisaidia Tanzania katika kuendeleza soka


Raisi wa shirikisho la kandanad akifafanua jambo kwa Ashford Mamelody na waandishi wa habari.

Shirikisho la kandanda TAnzania TFF hapo jana limetiliana saini na shirikisho la kandanda Duniani FIFA ikiwa ni mpango wa kuisaidia Tanzania katika nyanja 11 za maendeleo ya Soka.

Akizungumza na waandishi wa habari Raisi wa TFF Leodga Chilla Tenga amesema wameafikiana kuisaidia Tanzania katika kuendeleza soka la vijana, soka la wanawake, waamuzi, na soka la ufukweni.

Tenga amesema pia wamekubali kutusaidia kuimarisha mipango ya kibiashara baina ya TFF na wadau wake pamoja na kitengo cha masoko.

Amesema kuanzia tarehe 17 hadi 19 walikuwa na mkutano na afisa maendeleo wa shirikisho la soka Duniani ukanda wa kusini mwa Afrika Ashford Batlang Mamelodi.
Picha na Rajabu Mhamila

No comments :

Post a Comment