Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 18, 2009

ETHIOPIA YATOLEWA JELA NA FIFA BAADA YA UCHAGUZI

Shirikisho la kandanda la nchini Ethiopia EFF limeridhiwa na shirikisho la kandanda Duniani FIFA baada ya kufanya uchaguzi uliyofanyika mapema leo na kuweka uongozi mpya.
Ujumbe wa watu wa tatu toka FIFA umesema umeridhishwa na matokeo ya uchaguzi huo.
Mgogoro uliyokuwepo ndani ya EFF ulipelekea Ethiopia kuondolewa katika michuano ya kusaka nafasi ya kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia nchini Afrika Kusini na mataifa ya Afrika nchini Angola mwaka 2010 mwezi Julai mwaka jana.
Sahlu Gebrewold Gebremariam amechaguliwa kuwa raisi wa EFF, akichukua nafasi ya Dr Ashebir Woldegiorgis, ambaye alijiuzulu mwezi May.
Sahlu alikuwa mgombea pekee katika nafasi ya uraisi katika uchaguzi uliyofanyika leo, baada ya wagombea wengine kujitoa siku ya Ijumaa.
Amesema dhamira yake kubwa ni kuhakikisha anafufua soka la Ethiopia.

No comments :

Post a Comment