Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 13, 2009

BALLACK "HUU NI MSIMU WA CHELSEA MAN U WAMEFULIA"


Mchezaji wa klabu ya Chelsea Michael Ballack anaamini kwmaba mabingwa wa England Manchester United, watadhoofika msimu ujao baada ya kuondoka kwa mchawi wao wa magoli na kutabiri kwmaba utakuwa ni msimu wa Chelsea.
Ujio wa kocha mpya Carlo Ancelotti katika dimba la Stamford Bridge kumefufua tumaini jipya la kwa mashabiki wa Chelsea na huenda ukawa msimu wa mafanikio ya ubingwa tangu mara ya mwisho wa twao mwaka 2006.
Kiungo mchezeshaji huyo wa timu ya taifa ya Ujerumani anaamini watafanya vizuri zaidi ya Manchester United ambayo imempoteza Cristiano Ronaldo na Carlos Tevez katika dirisha la usajili.
Amesema lengo lao kila msimu huwa ni kutwaa ubingwa na wanaamini watatwa ubingwa msimu huu.
Amekiri kuwa msimu uliyopita walianza vema lakini Man United walicheza katika kiwango cha juu zaidi yao.
Na kukiri kwamba mashetani hao wekundu wa Old Traford wamekuwa kikwazo kikubwa kutwaa ubingwa msimu wa 2007 na 2008.

No comments :

Post a Comment