Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 15, 2009

Manyema FC yawasilisha majina ya usajili

Timu ya soka ya Manyema FC ya jijini Dar es Salaam leo imewasilisha majina ya wachezaji waliowasajili kuchezea ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao.

Akiongea na viwanjani Mkrugenzi Mtendaji wa Manyema FC Ally Mmanga amesema wachezaji wote waliowasajili msimu huu ni wa ndani ya nchi na si nje ya nnchi.

Amesema wamesajili jumla ya wachezaji 28 huku akismea wachezaji 16 ni wa zamani na wachezaji 12 ni wachezaji wapya.

Amewataja baadhi ya wachezaji kuwa ni pamoja na goligipa Odo Nombo Mulemba toka Kagera, Amoa Kefa Zulu, Abrahamu Masunga, Musa Kipao na Steve Mkuchika.

Mmanga amesema swala la Katibu wa kuajiriwa bado wanalifanyia kazi na litakapokuwa tayari wataliweka hadharani.

Kuhusu maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara msimu ujao, amesema tarehe 1 mwezi wa nane wataweka kambi nje ya Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment