Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 26, 2009

TV TUMAINI KUCHANGISHA FEDHA KWA SMS!!!

Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Methodius Kilaini,akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia Tv Tumaini, ili kuiwezesha kurusha matangazo yake kwa njia ya satalaiti,iliyofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki kushoto ni mjumbe wa kamati ya uendeshaji wa Televisheni hiyo Bw.Joseph Temu.(Picha na Rajabu Mhamila)

Akizindua Harambee hiyo mwenyekiti wa bodi ya TTV Padri Paulo Makundi amewataka wananchi kuchangia Televisheni hiyo kwa kutuma ujumbe wa maandishi wenye neno Tumaini kwenda 15543.
Amesema Gharama za ujumbe huo utakuwa ni shilingi 500, amesema zinahitajika milioni 400 kukamilisha kujiunga kwenye mtandao wa Setilaiti.

No comments :

Post a Comment