Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 17, 2009

KOVA CUP KUANZA JUMAMOSI


Mwanamichezo Ibrahimu Raza kushoto akikabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi laki mbili na nusu kwa mkuu wa upelelezi wmkoa wa Ilala, Duwani Nyanda kw ajili ya kushiriki mashindano ya kombe la kamanda Kova yanayotarajiwa kuanza Jumamosi hii jijini Dar es Salaam. katikati ni katibu wa ytimu ya mpira wa miguu ya Polisi kati Paul Mwanikungu.

NA RAJABU MHAMILA

No comments :

Post a Comment