Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 19, 2009

MJUE EMANUEL ADEBAYOR "Si goi goi kama unavyodhani"


Alizaliwa tarehe 26 Februari 1984 mjini Lome, Togo
2002-03: ikiwa ni msimu wake wa kwanza kujitokeza akiwa na klabu ya Metz aliisadia klabu hiyo kupanda daraja nchini Ufaransa huku akiwa amefunga jumla magoli 13.
Mwaka 2003: alijiunga na Monaco kwa dau la pauni milioni 2.
2003-04: alimaliza msimu akiwa na amefunga jumla msimu akiwa amefunga jumla ya mgoli nane. na kuisaidia klabu ya Monaco kutinga fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, na Monaco ilifungwa na Porto katika mchezo wa fainali.
2004-05: alimaliza msimu akiwa amefunga magoli tisa.
2005: August – alitajwa kutaka kujiumnga na klabu ya West Ham, siku ya miwhso ya usajili alikamilisha usajili.
mwezi October – alifanikiwa kufunga goli katiak mchezo dhidi ya Congo ambapo timu ya taifa ya Togoilifanikiwa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mwka 2006.
AKimaliza michuano hiyo ya kufuzu akiwa ndiyo kinara wa magoli wa Afrika akiwa na jumla ya magoli 11.
2006: January 13 – alijiunga na klabu ya Arsenal kwa dau la Pauni milioni 3.
January – alihusika katika mgogoro na kocha wa timu ya taifa ya Togo kabla ya mchezo wa ufunguzi dhidi ya Misri katika michuano ya mataifa ya Afrika.
Adebayor alitishia kujitoa katika michuano hiyo lakini baadae aliamua kubaki ingawa hawakufanya vizuri.
February 4 – alifunga goli katika mchezo wa kwanaza akijitikeza katika ligi kuu ya Engaland baada ya Arsenal kushinda 2-0 dhidi ya Birmingham.
June – alikabidhiwa mikoba ya ukapteni wa timu ya taifa ya Togo katika fainali za kombe la Dunia zilizofanyika nchini Ujerumani, ambapo walitolewa katika hatua ya makundi.
2007: February 25 – alikuwa ni moja ya wachezaji watatu waliyotolewa nje kwa kadi nyekundu ambapo Arsenal ilifungwa 2-1 na Chelsea katika mchezo wa fainali ya michuano ya Carling Cup mchezo ambao ulichezwa katika dimba la Millennium.
2007-08: Ni msimu ambao aliufurahia zaidi na kula matunda ya soka la kulipwa huku akifunga jumla ya magoli 30 katika michezo 48 aliyojitokeza ikiwa ni pamoja na kichapo kilichotolewa kwa Tottenham na Newcastle.
Alimaliza akishika nafasi ya tatu katika tuzo za mwaka kw wachezaji wa kulipwa ikiwa ni pamoja na katika timu ya mwaka ya wachezaji wa kulipwa.

2008: January 23 – aliwaomba msamaha mashabiki kwa kutoleana lugha chafu na mchezaji mwenzake Nicklas Bendtner katika mchezo ambao walifungwa magoli 5-1 katika mchezo wa pili wa michuano ya Carling Cup ikiwa ni hatua ya nusu fainali ambapo walichapwa na Tottenham.
August 1 – ilithibitishwa amekubali kusaini mkataba mpya na klabu ya Arsenal licha ya kuripotiwa kuwaniwa na klabu ya AC Milan na Barcelona.
2009: February 10 – alituzwa kuwa mwanasoka bora wa Afrika wa mwaka 2008 kwa mara ya pili katika sherehe zilizofanyika Lagos, Nigeria.
July 18 – alifanikiwa kufaulu vipimo vya affya na kusaini mkataba wa miaka mitano na klabu ya Manchester City.

No comments :

Post a Comment