Warembo wanaowania taji la kanda ya Kinondoni (Reds Miss Kinodnoni) na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari siku ya Jumamosi walishiriki katika mdahalo wa unahusu ngono zembe uliyofanyika katika hoteli ya Giraf Ocean View nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Mdahalo huo uliongozwa na Denis Busulwa Sebo kila upande ulipata nafasi ya kuchangia mada pamoja na kuuliza maswali na kujibu.
Pamoja na kuzungumzia ngono zembe, lakini mada kuu ilikuwa je nguo fupip zinachangia ngono zembe? wahariri na waandishi waliunga mkono huku warembo wakipinga.
katika mdahalo huo uliyotumia saa moja ulishuhudia wahariri wakiwabwaga kwa hoja lakini walipata upinzani mkubwa kutokana na kujieleza kwao vizuri.
wakati huo huo warembo wawili wataopata ajira katika hoteli ya Giraffe mara baada ya kumalizika kwa shindano hilo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment