Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 20, 2009

MISS KINONDONI KATIKA MDAHALO/WAHARIRI

Warembo wanaowania taji la kanda ya Kinondoni (Reds Miss Kinodnoni) na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari siku ya Jumamosi walishiriki katika mdahalo wa unahusu ngono zembe uliyofanyika katika hoteli ya Giraf Ocean View nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Mdahalo huo uliongozwa na Denis Busulwa Sebo kila upande ulipata nafasi ya kuchangia mada pamoja na kuuliza maswali na kujibu.
Pamoja na kuzungumzia ngono zembe, lakini mada kuu ilikuwa je nguo fupip zinachangia ngono zembe? wahariri na waandishi waliunga mkono huku warembo wakipinga.
katika mdahalo huo uliyotumia saa moja ulishuhudia wahariri wakiwabwaga kwa hoja lakini walipata upinzani mkubwa kutokana na kujieleza kwao vizuri.

wakati huo huo warembo wawili wataopata ajira katika hoteli ya Giraffe mara baada ya kumalizika kwa shindano hilo.

No comments :

Post a Comment