Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 22, 2009

JAPHERT KASEBA KUZIPIGA NA FRANCIS CHEKA OKTOBA 3

Mabondia, Francis Cheka (kushoto) na Japhert Kaseba, wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao unaotarajia kufanyika Oktoba 3.(Picha na Rajabu Mhamnila)Japhet Kaseba ambaye ni bingwa wa Dunia K-ONE mchezo wa ngumi na mateke Kick Boxing amesema amefikia maamuzi ya kurejea katika Boxing baada ya kuona bondia Francis Cheka hana mpinzani wa kupigana naye.

Francis Cheka ni Bingwa wa Dunia anayetambuliwa na International Circut Boxing (ICB, alitwaa ubingwa huo baada ya kumshinda Bondia mkongwe nchini Tanzania Rashi Matumla Snake Boy.

No comments :

Post a Comment