Mabondia, Francis Cheka (kushoto) na Japhert Kaseba, wakitunishiana misuli wakati wa utambulisho wa mpambano wao unaotarajia kufanyika Oktoba 3.(Picha na Rajabu Mhamnila)Japhet Kaseba ambaye ni bingwa wa Dunia K-ONE mchezo wa ngumi na mateke Kick Boxing amesema amefikia maamuzi ya kurejea katika Boxing baada ya kuona bondia Francis Cheka hana mpinzani wa kupigana naye.
Francis Cheka ni Bingwa wa Dunia anayetambuliwa na International Circut Boxing (ICB, alitwaa ubingwa huo baada ya kumshinda Bondia mkongwe nchini Tanzania Rashi Matumla Snake Boy.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment