WAREMBO KATIKA POZI
Baadhi ya warembo wanaotarajia kuwania kitongoji cha Miss Ilala wakiwa katika pozi wakati wa utamburisho wa warembo hawo mbere ya waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara Habari Mahelezo Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment