Rais wa bendi ya Fm Academia Nyoshi Elsadat akiimba wakati wa utambulisho wa uzinduzi wa DVD ya Live, Utamu wa Vanila,jana inayotarajiwa kuzinduriwa Dar es salaam leo kushoto ni Ofisa uhusiano wa kampuni ya simu za mkonono ya Zaini Celin Njuju, ambao ni wadhamini.(Picha na Rajabu Mhamila)
WAUMINI TAG GOBA WATAKIWA KUISHI MAISHA YASIYYO NA HOFU
-
Mchungaji Mteule wa Kanisa la Kingdom Impact Christian Centre(TAG) Goba,
Dkt. Jonathan Chales Ndanshau amewataka waumini wa Kanisa hilo waishi
katika mai...
1 day ago
No comments :
Post a Comment