Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 13, 2009

FURGOSN ASEMA HATAKI TENA KUSAJILI

Klabu ya Manchester United imeweka wazi kwamba haitanunu tena mchezaji katika kipindi hiki cha usajili.

Rai hiyo imetolewa na kocha wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson akisema wamefikia kikomo cha biashara hivyo watu wanapaswa kusahau nani na nani walikuwa wakiwafuatilia na kuweka bayana kwamba mchezaji Michael Owen atakuwa akivaa jezi nambari saba.

Amesema wakati soko linapokuwa limepamba moto, wao huwa hawako tayari kufanya makkubaliano.

Wadau wengi wa soka walitaraji kuona dau la Pauni milioni 80 toka katika mauzo ya Cristiano Ronaldo ambaye ametua Real Madrid lakini imeonekana kwamba zimetumika robo tatu tu baada ya Owen, Antonio Valencia, Gabriel Obertan wakitumia jumla ya dau la pauni milioni 20.
Mzee Furgason amesema Valencia na Obertan wote ni wachezaji wenye umri mdogo, lakini ni wanauwezo mkubwa wa kusakata kandanda.

Ameongeza kuwa wako na mzee mmoja akimaanisha Owen. lakini amedai anauzoefu wa kutosha na anaamini atafunga magoli.

No comments :

Post a Comment