Ikiwa ni siku moja baada ya kujikusanyia pointi tatu na kufikisha jumla ya pointi sita katika michezo miwili ya kwanza ya ligi kuu mnyama Simba sasa anataraji kuweka kambi mkoani Iringa kabla ya kukutana na wanakisha mapande Toto Afrika katika uwanja wa Uhuru.
Meneja wa timu ya Simba Innocent Njovu amesema wamefikia maamuzi hayo ya kuweka kambi mkoani Iringa ili kuwapa maandalizi mazuri wachezaji wake ili kuhakikisha wanaendelea kushinda.
Kuhusu Mchezaji Uhuru Suleimani ambaye ajana wametangaza rasmi kukamilisha taratibu za kumsajili, Njovu amesema kocha anamuangalia katika mazoezi.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment