Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 30, 2009

SIMBA YAJIFICHA IRINGA KABLA YA KUIKABILI TOTO AFRICA

Ikiwa ni siku moja baada ya kujikusanyia pointi tatu na kufikisha jumla ya pointi sita katika michezo miwili ya kwanza ya ligi kuu mnyama Simba sasa anataraji kuweka kambi mkoani Iringa kabla ya kukutana na wanakisha mapande Toto Afrika katika uwanja wa Uhuru.
Meneja wa timu ya Simba Innocent Njovu amesema wamefikia maamuzi hayo ya kuweka kambi mkoani Iringa ili kuwapa maandalizi mazuri wachezaji wake ili kuhakikisha wanaendelea kushinda.
Kuhusu Mchezaji Uhuru Suleimani ambaye ajana wametangaza rasmi kukamilisha taratibu za kumsajili, Njovu amesema kocha anamuangalia katika mazoezi.

No comments :

Post a Comment