Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
MPINA WA ACT WAZALENDO ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS
-
Baada ya kukabidhiwa fomu, wagombea hao walitia saini kitabu cha kumbukumbu
cha wachukua fomu chini ya maelekezo ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC,
Ndg. R...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment