Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment