Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
KRETA YA NGORONGORO YAMVUTIA MEYA WA JIJI LA DALLAS MAREKANI, AAHIDI
KUREJEA NA FAMILIA YAKE
-
Na Mustapha Seifdine, Ngorongoro Kreta.
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limeendelea kuwa kimbilio la wageni mashuhuri
duniani ambapo siku ya leo, Meya wa ...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment