Wekundu wa msimbazi Simba tayari wameshamalizana na klabu ya Mtibwa Sugar juu ya mchezaji Uhuru Selemani baada ya kutakiwa kutoa kitita cha shilingi milioni 8 katika mtafaruku uliodumu kwa wiki kadhaa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Simba Msemaji wa Timu hiyo Cliford Ndimbo amesema suala hilo walimalizana siku ya jumamosi katika ofisi za Tff na viongozi wa Mtibwa na tayari wameshatoa kiasi cha shilingi milioni 4 na kiasi kingine kilichobaki watalipa kwa awamu.
Ndimbo amesema Simba imefurahishwa na kitendo cha Mtibwa kuonyesha uungwana kwa kuweza kufikia muafaka na kuwakubalia mchezaji huyo lakini anawaomba busara zilizotumika na wao basi zitumike kwa kumalizana na Coastal Union.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment