Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 30, 2009

UHURU SELEMANI RUKSA KUCHEZA SIMBA "NI BAADA YA MTIBWA KUPEWA MILIONI NANE"

Wekundu wa msimbazi Simba tayari wameshamalizana na klabu ya Mtibwa Sugar juu ya mchezaji Uhuru Selemani baada ya kutakiwa kutoa kitita cha shilingi milioni 8 katika mtafaruku uliodumu kwa wiki kadhaa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Simba Msemaji wa Timu hiyo Cliford Ndimbo amesema suala hilo walimalizana siku ya jumamosi katika ofisi za Tff na viongozi wa Mtibwa na tayari wameshatoa kiasi cha shilingi milioni 4 na kiasi kingine kilichobaki watalipa kwa awamu.
Ndimbo amesema Simba imefurahishwa na kitendo cha Mtibwa kuonyesha uungwana kwa kuweza kufikia muafaka na kuwakubalia mchezaji huyo lakini anawaomba busara zilizotumika na wao basi zitumike kwa kumalizana na Coastal Union.

No comments :

Post a Comment