Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 18, 2010

AZAM FC YABANWA MBAVU NA KAGERA SUGER

Mlinzi wa klabu ya Azam akiondosha moja ya hatari langoni mwao.
Timu ya Azam Fc imelazimisha sare ya goli 1-1 na timu ya Kagera Suger katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliyochezwa katika uwanja wa Uhuru.
Timu ya Azam ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata goli katika dakika ya 48 kipindi cha pili kupitia kwa mchezaji Saidi Sued, wkati goli la kusawazisha kwa Kagera Suger lilifungwa na Saidi Dilunga katika dakika 87 ya mchezo huo.
Kufuatia sare hiyo sasa Azam Fc wanafikisha pointi 22 wakiwa na fasi ya tatu wkati Kagera Suger wanafikisha pointi 13 wakiwa nafasi ya nane katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.Golikipa wa Kagera Suger akiokoa moja ya hatari langoni mwake.
Kiujumla mchezo ulikuwa wa kuvutia kwani walikuwa wakishambuliana kwa zamu, nilimsikkia moja ya mdau akisema ukitaka kulifaidi soka Tanzania usiangalie mechi wakicheza Simba au Yanga mchezo unakuwa wa upande mmoja, uli ufaidi soka inabidi uangalie hizi timu zingine za ligi kuu.
Je wadau kunaukweli wa kauli hii? na kama upo ni kwanini? hebu tusaidieni mawazo hapo!!!

No comments :

Post a Comment