Wachezaji nane wamejitokeza kushiriki ligi ya ngumi na mateke kickboxing ligi itakayoanza feb 27 hadi marchi sita mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani Mwandaji wa ligi hiyo ambaye pia ni bigwa wa dunia wa mchezo huo Japhet Kaseba amesema wachezaji hao wanatoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
Amewataja ambao wamejitokeza hadi sasa ni Kanda Kabongo kutoka Dar es Salaam, Emanuel Shija Musoma, Chaz Angaya Shinyanga, Michael Aren Mwanza, ally Mrisho Vandame na Masud Mkalambati.
amefahamisha kwamba wachezaji wanaohitajika kushiriki ni nane na aliwatangazia wale watakaofika mapema ndio Watakaopata nafasi ya kushiriki.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment