Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 17, 2010

KICKBOXING LIGI SASA KUPIGWA FEBRUARI 27

Wachezaji nane wamejitokeza kushiriki ligi ya ngumi na mateke kickboxing ligi itakayoanza feb 27 hadi marchi sita mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na kipindi cha michezo na burudani Mwandaji wa ligi hiyo ambaye pia ni bigwa wa dunia wa mchezo huo Japhet Kaseba amesema wachezaji hao wanatoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
Amewataja ambao wamejitokeza hadi sasa ni Kanda Kabongo kutoka Dar es Salaam, Emanuel Shija Musoma, Chaz Angaya Shinyanga, Michael Aren Mwanza, ally Mrisho Vandame na Masud Mkalambati.
amefahamisha kwamba wachezaji wanaohitajika kushiriki ni nane na aliwatangazia wale watakaofika mapema ndio Watakaopata nafasi ya kushiriki.

No comments :

Post a Comment