Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 17, 2010

MATUMLA KUZIPIGA UJERUMANI FEBRUARI 6

Bondia wa Ngumi za kulipwa Rashidi "Snake Boy" Matumla anatarajiwa kupanda ulingoni huko Trabrennbahn Hypodrom, Karlshorst, Berlin, nchini Ujerumani Februari 6 dhidi ya bondia Simon kuwania mkanda wa Dunia wa IBF.
Akizungumza na Viwanjani Rashidi Matumla amesema anaamini atafanya vizuri katika pambano hilo kwani kwasasa akliwa chini ya Mwalimu Ally Bakari Champion anaona anamabadiliko makubwa katika uchezaji ikiwa ni pamoja na wepesi wa kurusha ngumi na kukwepa tofauti na awali.Katikati ni mdau wa viwanjani akiwa na rashidi Matumla aliyevalia kapelo na kocha wake Ally Bakari Champion.
Matumla amesema anamfahamu vema Bondia Benjamin Simon kuwa ni mzuri na anareko nzuri lakini anaamini atakuwa wa pili kumsimamisha ulingoni tena katika uwanja wa nyumbani.
Nilipomuuliza kocha na wakala aliyemtafutia pambano hilo Ally Bakari Champion amesema aliombwa kupeleka mikanda ya mabondia wa ngumi za kulipwa Tanzania ili wachague ni bondia gani mwenyesifa ili acheze na Benjamini.
Amesema baada ya kuangalia mikanda hiyo na kumkubali Matumla kutokana na umahiri wake ulingoni.
Rashidi Matumla amecheza jumla ya mapambano 47 ameshinda mapambano 39 na kupoteza mapambano 8.
wakati Mpinzani wake Benjamin Simon anaumri wa miaka 26 amecheza mapambano 17 amepoteza pambano moja tu.
HUU HAPA NI WASIFU WAKE

boxer: Benjamin Simon

Jinsia - Mwanaume

Tarehe ya kuzaliwa - 1983-01-28

Umri - 26

Meneja/Wakala - Robert Rolle

Uzito - middleweight

Urefu - 5′ 10″ / 178cm

Utaifa - Ujerumani

Anaishi - Berlin, Germany

Ameshinda 16 (KO 16) amepoteza 1 (KO 0) ametoka sare 0 = 17
Benjamin Simon katikati akiwa na Meneja wake kulia na kushoto ni Mlinzi wake

No comments :

Post a Comment