Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 22, 2010

MPIRA WA MIKONO WAHITAJI MILIONI 14

Kiasi cha Shilingi million kumi na nne kinahitajika kuendeshea mashindano ya klabu bigwa ya mpira wa mikono yatakayoanza February 22 hadi 27 mwaka huu jijini Dodoma
Nicolaus Mihayo Katibu Mkuu wa chama cha Mpira wa Mikono Taifa TAHA, amesema mashindano hayo yanafanyika kila mwaka ambapo mwaka jana yalifanyika mwezi Februari katika jiji la Mwanza na timu ya Magereza Kiwira iliibuka kinara.

No comments :

Post a Comment