Kiasi cha Shilingi million kumi na nne kinahitajika kuendeshea mashindano ya klabu bigwa ya mpira wa mikono yatakayoanza February 22 hadi 27 mwaka huu jijini Dodoma
Nicolaus Mihayo Katibu Mkuu wa chama cha Mpira wa Mikono Taifa TAHA, amesema mashindano hayo yanafanyika kila mwaka ambapo mwaka jana yalifanyika mwezi Februari katika jiji la Mwanza na timu ya Magereza Kiwira iliibuka kinara.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment