Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 21, 2010

MAJEMBE KAZINI

Kulia, Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Majembe Action Mart Bw. Seth Motto akikata bomba la mdaiwa sugu wakati wa operesheni hiyo iliyoanza Dar es salaam jana baada ya kupewa uwakala na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO).
Kushoto ni Ofisa wa Kampuni ya udalali ya Majembe Action Mart akimwandikia makosa mmoja ya madereva wa daladala baada ya kupitisha gari katika njia isiyo halali Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment