Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 21, 2010

JKT RUVU YATAMBA MBELE YA TANZANIA PRISON

Timu ya JKT Ruvu imeendeleza wimbi la ushindi katika ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichapa Tanzania Prison 2-0 katika mchezo uliyopigwa uwanja wa Uhuru.
Mshambuliaji Sostenes Manyasi ndiyo alikuwa wa kwanza kuchungulia nyavu za Tanzania Prison baada ya kuunganisha pasi iliyopigwa na Hussein Bunu.Goli la pili na la ushindi lilifungwa na Stanley Nkomola (mwenye jezi nambari tano pichani) katika dakika ya 43 ya mchezo na kuwafanya kumaliza dakika tisini wakiwa na uhakika wa kuondoka na jumla ya pointi 3.
Kufuatia ushindi huo sasa JKT Ruvu wanafikisha jumla ya pointi 18 sawa na majimaji ya Songea, wakati Tanzania Prison wakiendelea kubaki nafasi ya kumi wakiwa na jumla ya pointi 8.

No comments :

Post a Comment