Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 18, 2010

MICHUANO YA WAZI TENIS KUANZA FEBRUARI

Mashindano ya wazi ya mchezo wa tenisi yataanza kuvurumishwa mwanzoni mwa February mwaka huu katika viwanja vya klabu ya Gymkhana jijini Dar es Salaam.
Nahodha wa mchezo huo Inger Njau amefahamisha kwamba mashindano hayo ni utaratibu wa mashindano ya kila mwaka na yanasimamiwa na chama cha tenisi Tanzania.
Aidha ameongeza kwamba washiriki wa mashindano hayo wanatoka kila pembe ya Tanzania pamoja na majirani zao Kenya na Uganda.
amesema maandalizi ya mashindano hayo yapo tayari ikiwemo zawadi kabambe kutoka kwa mdhamini wa mashindano hayo.

No comments :

Post a Comment