Mashindano ya wazi ya mchezo wa tenisi yataanza kuvurumishwa mwanzoni mwa February mwaka huu katika viwanja vya klabu ya Gymkhana jijini Dar es Salaam.
Nahodha wa mchezo huo Inger Njau amefahamisha kwamba mashindano hayo ni utaratibu wa mashindano ya kila mwaka na yanasimamiwa na chama cha tenisi Tanzania.
Aidha ameongeza kwamba washiriki wa mashindano hayo wanatoka kila pembe ya Tanzania pamoja na majirani zao Kenya na Uganda.
amesema maandalizi ya mashindano hayo yapo tayari ikiwemo zawadi kabambe kutoka kwa mdhamini wa mashindano hayo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment