Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 12, 2010

TANZANIA YATWAA MEDALI TISA KUOGELEA - KENYA

Timu ya mchezo wa kuogelea imewasili nchini ikitokea jijini Nairobi nchini Kenya ikiwa na ushindi mnono katika mashindano ya kanda ya tatu na ya nne iliyomalizika Jumapili.
Akizungumza na viwanjani.blogspot.com katibu mkuu wa chama cha kuogelea Tanzania TSA, Noel Kiunsi amesema timu hiyo imefanya vizuri na kufanikiwa kurejea na medali tisa katika michuano hiyo.
Lakini wadau sasa hapa najiuliza huko katika mashindano hivi hawa walikuwa wanasema wanatoka wapi? Tanzania kweli? mbona wote wanaonekana ni wazungu! inamaana kweli hakuna mzawa kabisa anayeweza kuogelea? ni kwanini wazawa wenyewe hatushiriki na badala yake nafasi inachukuliwa na wenzetu ambao wengi ukiwauliza utasikia ni watoto wa mabalozi ama wazungu wanaofanya kazi nchini na baada ya muda wanaondoka.Au ndiyo kusema wazazi hawatoi fursa kwa watoto kuogelea? naomba wadau hapo tusemezane.
Hatukatai kuwa wazungu kuwakilisha Tanzania lakini sasa ndiyo timu nzima jamani?

No comments :

Post a Comment