Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 22, 2010

MABONDIA WAZICHAPA KUSAKA NAFASI TIMU YA TAIFA

Bondia Denis Mwaisarage (kulia) akijaribu kutupa konde kwa mpinzani wake, Said Mtubukwa, wakati wa mazoezi ya kuchagua timu ya Taifa ya ngumi yaliyofanyika Dar es salaam jana (Picha na Rajabu Mhamila)Bondia Sanday Elias (kulia) akijaribu kutupa konde kwa mpinzani wake, Noel Akwilini, wakati wa mazoezi ya kuchagua timu ya Taifa ya ngumi yaliyofanyika Dar es salaam jana (Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment