Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 21, 2010

GAZETI LA MAJIRA LA MFANYA MBATIA KUMSAIDIA MOHAMED ALBANI

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bw. James Mbatia akimkabiddhi sh. mil. 1.2 kwa ajili ya kununulia viungo bandia Mohamed Albani (12),na kuahidi kumsomesha baada ya kupata ajali ya kugongwa na treni mwaka 2005.Picha na maelezo ya mtoto huyo ilichapishwa na gazeti la Majira mwaka jana.(Picha na Rajabu Mhamila)Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bw. James Mbatia akimfunga mkanda Mohamed Albani (12),baada ya kumkabidhi Baiskeri ya kutembelea Dar es salaam jana, na kuahidi kumsomesha baada ya kupata ajali ya kugongwa na treni mwaka 2005.Picha na maelezo ya mtoto huyo ilichapishwa na gazeti la Majira mwaka jana.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment