Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 18, 2010

TFF - UCHAGUZI BAADA YA LIGI RUKSA

Shirikisho la kandanda Tanzania TFF limewaomba watanzania wote kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali ikiwemo ya makamu wa pili wa Rais wa Shirikisho hilo.
Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Fredrick Mwakalebela amesema kwamba fomu za kuwania nafasi hizo zimeanza kutolewa mapema mwezi huu na mwisho utakuwa kesho.
Aidha baada ya wanachama wa klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba kupitisha rasmu ya katiba January 16 na kukubaliana Uchaguzi wa viongozi utafanyika baada ya Ligi Kuu Tanzania Bara Mwakalebela amesema TFF haina shida na hilo chamsingi ni katiba.
wakati huo huo Kamati ya mashindano ya TFF itakutana Jumanne ya tarehe 19 kijadili mambo mbambali ikiwemo ligi daraja la kwanza.
Kamati hiyo ilikutana ijumaa ya wiki iliyopita lakini hawakutoa maamuzi hadi hapo kesho.
Mwakalebela amesema vilabu tisa ndio vitakavyoshiriki ligi hiyo ambapo timu tatu ndizo zitazopanda daraja ambapo mwezi wa tatu ndio ligi hiyo inatakiwa ianze.

No comments :

Post a Comment