Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, January 13, 2010

TBL WAKABIDHI VIFAA VYA TAHAMANI YA MILIONI 62 KWA SIMBA NA YANGA


Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) David Minja (kushoto) akimkabidhi jezi Katibu Mkuu wa Clubu ya Yanga, Lawlence Mwalusako, Dar es Salaam jana kwa ajili ya msimu wa ligi kuu ya Tanzania bara inayotarajia kuendelea hivi karibuni anaeshughudia katikati ni Meneja wa bia ya KIlimanjaro George Kavishe.(Picha na Rajabu Mhamila)Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) David Minja (kulia) akimkabidhi jezi Katibu Msaidizi wa Clabu ya Simba, Mohamed Mjenga,Dar es Salaam jana kwa ajili ya msimu wa ligi kuu ya Tanzania bara inayotarajia kuendelea hivi karibuni anaeshughudia katikati ni Mkurugenzi wa Utawara na Uwanachama kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)Mtemi Ramadhani.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment