Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 21, 2010

CHEKA NA MBWANA WAPATA MENEJA

Mabondia Francis Cheka kushoto na Mbwana Matumla kulia wakiwa na Meneja wao Juma Ndabile mara baada ya meneja huyo kuongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa idara ya habari maelezo juu ya mkataba wa mwaka mmoja aliosaini na mabondia hao ili kufanya nao kazi, meneja huyo atakuwa na jukumu la kuwatafutia mabondia walimu kwa ajili ya mafunzo na kuwatafutia mapambano mbalimbali ya ndani na nje ya nchi pamoja na kuingia mikataba mbalimbali ya mapambano na udhamini.

No comments :

Post a Comment