Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 8, 2010

TIMU YA BUNGE YATUA ZANZIBAR - MAPINDUZI CUP

Mwenyekiti wa Timu ya Bunge sports Club.Joel Bendera kushoto akipokea vifaa vya michezo, vyenye thamani ya shilingi M. 5.5 Dar es Salaam kutoka kwa Meneja mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya bia Serengeti (SBL),Bi.Teddy Mapunda.Anayeshuhudia kulia ni Meneja bidhaa wa kampuni hiyo, Nandi Mwiyobella.(Rajabu Mhamila
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti imekabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bunge Sport Club vyenye thamani ya Shilingi Milioni tano nukta tano kwa ajili ya ushiriki wao wa mashindano ya kombe la Mapinduzi yanayoendelea Visiwani Zanzibar.Kikosi cha wabunge kimeondoka Alhamisi asubuhi kuelekea Zanzibar ikiwa na jumla ya wachezaji 25 tayari kwa mchezo wao Jan 12 Pemba
Akizungumza na Waandishi wa habari Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Joel Nkaya Bendera amesema kwamba wamejiandaa vizuri katika mchezo huo na watashinda.

No comments :

Post a Comment