Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 22, 2010

DJ JD SASA KUSIKIKA RADIO TIMES FM 100.5 KATIKA BLUST 100.5

John Dilinga (DJ JD) akisani mkataba wa kuitumikia Radio Times FM katika kipindi cha BLUST 100.5, anayemtazama ni Meneja vipindi wa Radio Times FM Scholastica Mazula.
DJ mkongwe nchini John Dilinga maarufu DJ JD amesaini leo mkataba na Radio Times FM tayari kuanza kuunguruma kupitia masafa ya 100.5.
DJ JD ambaye inasadikia ndiye mkali na mtundu nchini Tanzania katika kuichezea Dj mashine na uchangaji wa muziki atakuwa akiendesha kipindi cha BLUST 100.5 kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 jioni, akitangaza na kumix mziki mwenyewe.
Akizungumza na viwanjani DJ JD amesema kwamba wapenzi wa aina ya uchangaji muziki wake na wasikilizaji wa RAdio Times FM wajiandae kupata burudani ambayo wameikosa kwa muda mrefu.
DJ JD amesema wanaodhani kwamba uwezo wake umeshuka, wafute kabisa mawazo hayo na wakitaka kuthibitisha basi wasikilize Radio Times FM 100.5 na watathibisha kile ambacho wanakifikiria.
DJ JD ni moja ya ma DJ na Watangazaji waliyotoa mchango mkubwa katika kuunyanyua muziki wa kizazi kipya yaani Bongofleva.Hapa John Dilinga (DJ JD) akijadiliana jambo na Meneja Vipindi wa Radio Times FM Scholastica Mazula wakati akisaini mkataba wa kuitumiki Radio Times FM.

No comments :

Post a Comment