Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 12, 2010

MWEZINGO KURUDI TENA MSONDO

Wasanii wa Msondo Music band wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika Dar es salaam juzi kushoto ni mpiga kinanda Abdul Ridhiwani 'pangamawe' na mpiga gita la Solo Saidi Mabela.(PIcha na Rajabu Mhamila)
moses namuhisa,
Wakati huo huo MWIMBAJI nyota wa muziki wa dansi nchini,Rashidi Mwezingo 'Silver Boy' amesema anaipenda sana bendi ya msondo music hivyo kuwa yupo mbioni kurejea katika kundi la msondo ikiwa ni baada ya wiki kadhaa za kuwa nje kutokana na matatizo ya kiutawala
'Mwezingo amesema mda mchache ujao atalejea kundini na kuanza kuonekana kama mwanzo baada ya kuweka sawa mambo yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo ukweli juu ya jukumu walilonalo viongozi wa bendi ya msondo katika kulipa deni analodaiwa na benki ambapo alikopa kupitia udhamini wa TOT.Plus
Lakini nilipohamia Msondo uongozi wa TOT ukauandikia barua uongozi wa msondo kueleza kuwepo kwa deni hilo ambalo napaswa kulipa sh.67,000 kila kila mwezi alisema.
Alifafanua kuwa barua hiyo kwa kiasi flani iliwachanganya viongozi wa Msondo ambapo walidhani jukumu la kulipa deni hilo ni lao, wakati ukweli ni kwamba ninapaswa kulipa mimi kupitia mshahara ninaolipwa kila mwezi.
Alisema badala yake viongozi hawo walisema awawezi kumudu kulipa deni hilo hivyo kuamua kuachana nae, lakini baada ya kuwaelewesha bila shaka wameelewa na sasa yupo mbioni kulejea kundini na kuendelea kutoa burudani jukwaani na nimeshatunga kibaa kitakachokwenda kwa jina la 'heshima ya ndoa' tutakachofanyia mazoezi baada ya kukaa pamoja hivyo kuwataka wapenzi wa Msondo kukaa mkao wa kula

No comments :

Post a Comment