Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 18, 2010

KUOGELEA KUTIMIZA KAULI YA RAISI - WAJIPANGA KURUDI NA MEDALI

Chama cha mchezo wa kuogelea hapa nchini kimeandaa mikakati kabambe ya kuhakikisha wanaandaa timu ya taifa ya mchezo huo itakayorudi na ushindi katika mashindano ya Jumia ya Madola yatakayoanza Oktoba mwaka huu mjini Delh nchini India.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha radio Times Fm Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo Noel Kiunsi amesema wameamua kupanga mikakati hiyo ili kuinga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa anapokea kifumbo cha malkia Burton kwamba anataka ushindi na si kushindana.

No comments :

Post a Comment