Chama cha mchezo wa kuogelea hapa nchini kimeandaa mikakati kabambe ya kuhakikisha wanaandaa timu ya taifa ya mchezo huo itakayorudi na ushindi katika mashindano ya Jumia ya Madola yatakayoanza Oktoba mwaka huu mjini Delh nchini India.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha radio Times Fm Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo Noel Kiunsi amesema wameamua kupanga mikakati hiyo ili kuinga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa anapokea kifumbo cha malkia Burton kwamba anataka ushindi na si kushindana.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment